Showing posts with label MAFANIKIO. Show all posts
Showing posts with label MAFANIKIO. Show all posts

Sunday, September 11, 2016

FURSA ZA AJIRA ZILIZOPO TANZANIA

Ikiwa ni Makala nyingine Inayoelezea fursa za ajira,Ningependa Twende Pamoja Mpenzi msomaji wa Mtandao huu.

Ajira imekuwa ni Gumzo kubwa kwa miaka ya sasa.Kila Mwaka Maelfu ya watu Wanahitimu Ngazi mbalimbali lakini ni wachache tu wanaofanikiwa kupata ajira.lakn pia sisi kama vijana i nabidi tutumie akili nyingne ya ziada katika kupata ajira.kulingana na ajira zetu.