Friday, November 18, 2016

Andaa vema BUSTANI yako ili ikupe MAFANIKIO

Habari ndg yangu napenda tuendelee katika kuweza kujulishana na kushauriana.

Unajua kila siku tambua ya kwamba hakuna mtu ambaye atakuwa anakusubiri ww ufanikiwe na ndipo ww uige toka kwako.

Hali za namna hiyo ndg zilikwishapitwa n.a. wakati kwa maana ya kwamba ili ufanikiwe lazma upambane ipasavyo .

Lakn pia katik kupambana na hizo harakati wahitajika kutambua ya kwamba uvumilivu huhitajika kwa kiasi kikubwa sana kwa maana hakuna jambo lisilo na chaangamoto .

Na kumbuka kupitia hizo changamoto ndio njia mojawapo ya kuweza kukutoa kimaisha.

Endapo ukiwa mvumilivu n.a. kuwa ni mtu usiye kata Tamaa.

Daima kupambana huwa kuna leta imani ya kufikia Lengo kulingana n.a. kwamba ni kwa namna gani utakuwa umetiĺia maanani katika Lengo lako.

Diana NAPENDA KUKUONA UKIFANIKIWA

By mr B MWAMPULULE

Thursday, November 17, 2016

WAPENDA KUPANDA NN KATIKA BUSTANI YAKO.

Habari ndg yangu natumai u mzma
Napenda tuendelee katika kuweza kutambua kuhusu suala la kuwa ww ni BUSTANI.

Ndg yangu kumbuka kutoka katika nakala iliyopita nilielezea kuhusu kwa nini uitwe bustani .

Ambapo nikaeleza ya kwamba kwetu ss bustani ni akili zetu.

Ambapo katika akili yet kuna kila kitu ambacho utweza kukifanya kutokana na maamuz yako.

Sasa siku ya Leo napenda kukuuliza na kuweza kufanunua kuhusu ni kitu gani huwa unapenda kupanda katika bustani yako.

Ambapo maana yake ni kwamba ni kitu gan unapenda au maarifa gan wapenda kuyalpanda kichwani mwako.

Je ndg yangu ww unapenda kupata na kupanda maarifa ya aina gani ili yakusaidie katika maisha yako?

Ewe rafiki yangu na ndg yangu nakuomba na kukushauri ya kwamba pendelea kupata maarifa yenye mantiki na yny faida katika maisha yako ya Leo n.a. baadae.

Kwa maana tukumbuke ya kwamba  muda unazd kwenda na bustann mwako hujaandaa wala kupanda mbegu aina yeyote .je siku zako za usoni utavuna matunda gani kutoka katika bustani yako.

Ndg yangu andaa BUSTANI yako na upande mbegu zilizo bora na uvune mazao yaliyo na faida kubwa sana maishani mwako.

Asante
NAPENDA KUKUONA UKIFANIKIWA

By my
Mr B.MWAMPULULE
barakaasajilemwakyoma@gmail.com

Wednesday, November 16, 2016

Je WATAMBUA KWANINI WW NIBUSTANI

Habari ndg yangu karibu kwa mara nyingne katika kuweza kutambua ya kwamba kwa nn uitwe bustani ndg yangu.

Tambua ya kwamba BUSTANI ambayio tunaizungumzia kwetu sisi ni AKILI AU UBONGO.

Kwa maana hiyo tambua ya kwamba sisi hapa tulipo tuna akili ambayo tunahitaji kuifanyia kaz katika kutuletea mafanikio katika maisha yetu ya kila siku.

Na pia hii bustani huwa inakuwa na maamuz yako ww muhusika katika kuamua ni kitu gan kilicho kizuri kukifanya na kipi kisicho chemo.

Kumbuka ndani ya akili yako huwa kuna uwezo mkubwa sana wa kuweza kuamua jambo na maamuz yaliyo sahihi katika Marsha yako .

Lakn je ndg yangu umejiandaaje kuitunza bustani yako ?

Umejiandaaje katika kupanda mazao mazuri katika bustani yako?

Je umejipangaje katika kuchagua mazao ya kupanda katika bustani yako?

Ndg yangu mpendwa fanya maamuz sahihi katika kuitunza bustani yako ili uweze kupata mafanikio mazuri katika haya maisha .

Usipende kuish katika haya maisha kw mazoea ndg yangu fanya mabadiliko sahihi tangu Sasa.

NAPENDA KUKUONA UKIFANIKIWA

By mr B.mwampulule.


Monday, November 14, 2016

JE WATAMBUA WW NI BUSTANI?

Ndugu yangu watambua ya kwamba ww ni BUSTANI?
   Je unajua kwa nn uitwe bustani?

Je ndani ya bustani huwa kunapatikana kitu gani?

Je ndani ya bustani tunapanda nn?

Je ni kitu gani chahitajika ili kuwa na bustani yako izae matunda mazuri?

Je katika bustani huwa unapendrlea kupanda nn?

Je ukipalilia bustani unategemea upate matunda gan?

Je usipopalilia bustani utapata nn?

Je utatumia njia gani endapo BUSTANI yako itatoa matunda usiyoyategemea?

Hv katika bustan yako unapendelea kuanza mmea gani ili uanzishe bustani yako?

Je kipind cha kiangaz huwa unatumia njia gan kuifanya bustani yako Iwe kama upendavyo?

Je huwa unapenda kupanda mbegu isiyokuwa na matunda mazuri?

Je uko tayari kuitunza bustani ambayo haizai matunda?

Je utafanya nn endapo bustani yako haijaridhika nayo?

Je hiyo bustani yako huwa unaihudumia kwa ratiba Gan au ratiba ya namna gan?

Ndg yangu naomba kwa Leo tutafakari na kuyafanyia kazi hayo baadhi ya maswali .

Naomba kipind kijacho utapata kuelewa ni nn maana ya maswali hayo na maana ya bustani hiyo.

NAPENDA KUKUONA UKIFANIKIWA

By mr B MWAMPULULE
0755778896
barakaasajilemwakyoma@gmail.com

Friday, November 11, 2016

KUJIKUBALI NDIO CHANZO CHA MAFANIKIO

Habari za asubuhi ndg jamaa n.a. rafiki zangu natumai wote mu wazma.
     Tunamshukuru MUNGU kwa wema wake kwa kuzd kutupatia pumzi mpaka muda huu kwa maana kuwa una jukumu maalum ulilowekewa ndani yako linahitajika kukamilika .

    Ndugu yangu siku ya Leo napenda nikukuumbushe na kukusisitiza ya kwamba ukitaka kupata mafanikio katika Maisha ni lazma uweze kujikubali ya kwamba unaweza na ujianze ww mwenyewe ukiwa kioo cha mwingne k ufanikiwa .

   Mfano unajua katika jamii yetu ituzungukayo huwa kuna tabia ya kuangalia watoto au watu walio n.a. uwezon.a. wasio na uwezo ambapo kila siku utasikia nataka kuwa kama Yule kwa maana Ana uwezo lakn huo hauwezi kama mwenyewe huwajibuki .

Daima ukitaka hayo mafanikio lazma uwajibike ipasavyo kwa maana huwa kuna ngazi za mafanikio kutokea chin mpaka kufikia Killeen.

  Asnte sana ndg yangu nakutakia siku njema na majukumu memaaa.

NAPENDA KUONA UKIFANIKIWA.

BY MR B MWAMPULULE.

Wednesday, November 9, 2016

AMINI KILA MMOJA ANAWEZA

Habari ndg jamaa na marafiki z angu natumai mu wazma wa afya kwa uweze wa mwenyezi MUNGU.
       Siku ya leo napenda tuangalie swala moja ambalo ni muhimu na huwa ndio chanzo cha mafanikio yet daima katika nyanja yeyote kama elimu biashara n.k
    Ambalo hilo swala ni KUJIKUBALI KUWA UNAWEZA kwa maana ya kwamba hakuna mtu yeyote ambaye hawezi kufanya maamuz na kufanya jambo .Bali kitu ambacho kinasumbua ni neno KUTHUBUTU .

   Unajua kila siku ukiwa unajiamini ya kwamba unaweza hakuna jambo Lolote ambalo litakuletea wakati mgumu kwa sababu pale uaminipo kuwa hili linawezekana kwa njia yoyote Ile lazma litawezekana kwa sababu ww mwenyewe ndio mwenye maamuz .

Mfano unahitaji kujenga nyumba ya kifahari lakn kwa muda huo hauna kipato cha kujenga hvo pamoja n.a. hvo unajua hiki kiasi nilichonacho kitanifikisha mahali fulani nakusihi ww Anza nacho tu kwa maana hakuna mtu ambaye alizaliwa n.a. akawa navyo hvyo uvionavyo anavyo.

Ndugu yangu mafanikio yanawezekana kwa maana hakuna aliyeumbwa kushindwa hata siku moja na ili uweze kushinda lazma ujiamini ya kwamba mm ninaweza tu kwa uweza wa mwenyezi MUNGU.

Usiogope kwa kuwa una hali ya namna gan ndg yangu unaweza kufanya mabadiliko n.a. ukiwa katika hali uliyonayo kesho tunakuona katika hali nyingne ndg fanya maamuz sasa ili uweze k ufanikiwa.

   Napenda kuona wote tukifanikiwa na kutoka hali tuliyonayo n.a.  kwenda hali nzuri zaid. 

Nawatakia siku njema.
By Mr b mwampulule

Tuesday, November 8, 2016

JITOE KWELI KUPATA MAFANIKIO PART 1

Habari za Leo ndg jamaa na rafiki yangu natumai mu wazma .karibuni tena na kwa wakati mwingne katika kuzd kujifunza baadhi ya harakati zitakazo tuletea mafanikio.
   
    Daima kila siku upendapo kupata mafanikio lazma ww uwe umejitoa kweli ili ufanikiwe kwa maana kwamba

   Usiogope maneno ya watu yatakayo kukatisha Tamara
  Usiogope na pia pambana ipasavyo katika hali uliyonayo ili uweze ufanikiwe
  Usiogope ya kwamba ukifanya hv sijui sijui itakuwaje

Bali kumbuka ya kwamba hayo mabadiliko uyatakayo ni ya kwako ww na familia yako.

Na pia hakuna mtu yeyote atakayekuja kukusaidia majukumu yako   
  Kwa maana kila mmoja atakuwa anashughulika na mambo yake.

   Asanten sana kwa Hilo naomba mlitafakari na kulifanyia kazi vzr  kwa ajili ya kupata mafanikio.
    
Nawatakia siku njema 
NAPENDA KUKUONA UKIFANIKIWA.
   BY MR B.MWAMPULULE.

KUPATA MAFANIKIO

Habari za Leo ndg jamaa na rafiki yangu natumai mu wazma .karibuni tena na kwa wakati mwingne katika kuzd kujifunza baadhi ya harakati zitakazo tuletea mafanikio.
   
    Daima kila siku upendapo kupata mafanikio lazma ww uwe umejitoa kweli ili ufanikiwe kwa maana kwamba

   Usiogope maneno ya watu yatakayo kukatisha Tamara
  Usiogope na pia pambana ipasavyo katika hali uliyonayo ili uweze ufanikiwe
  Usiogope ya kwamba ukifanya hv sijui sijui itakuwaje

Bali kumbuka ya kwamba hayo mabadiliko uyatakayo ni ya kwako ww na familia yako.

Na pia hakuna mtu yeyote atakayekuja kukusaidia majukumu yako   
  Kwa maana kila mmoja atakuwa anashughulika na mambo yake.

   Asanten sana kwa Hilo naomba mlitafakari na kulifanyia kazi vzr  kwa ajili ya kupata mafanikio.
    
Nawatakia siku njema 
NAPENDA KUKUONA UKIFANIKIWA.
   BY MR B.MWAMPULULE.

Friday, November 4, 2016

ANZA SIKU YAKO KWA KUHAMASIKA .

Habari za Leo ndg jamaa na rafiki
yangu natumai wote tu wazma.
     Karibu tena kwa wakati mwingne katika kuweza kujifunza na kuangalia baadhi ya mambo ambayo yatatuhamasisha kufanya maamuz na kupata mafanikio kila siku.

Ndg yangu Leo napenda kuongelea kuhusiana na NAMNA YA KUANZA SIKU YAKO UKIWA UMEHAMASIKA.

Nikiwa na maana ya kwamba kuanza siku vizuri ambapo ukiwa unaendelea na shughuli zako uweze kulifikisha lengo lako kwa kiasi fulani kwa kila siku.

Je? Ndugu yangu kila uamkapo huwa unapenda kufanya kitu gan ambacho huwa chakuhamasisha kufikia lengo lako?
 
Natambua ya kwamba kila mmoja kuna staili yake ambayo huwa anaipendelea kuanza nayo siku .

Naomba nikuambie kitu kimoja ambacho ni cha muhimu sana UNATAKIWA KILA UANZAPO SIKU ANZA KWA KUSOMA AU KUANDIKA LENGO LAKO UNALOHITAJI KULIFANIKISHA KWA SIKU HIYO.

  Ukifanya hivyo daima utazd kuwa ni mtu mwenye maendeleo na mwenye mafanikio kila siku.
Pia kama ww nisomaji wa magazeti nakuomba usipende kuanza siku kwa gazeti za udaku .kwa maana ukianza na udaku akili yako itakuwa imeanza vibaya kwa maana haujaupa chakula chake kilicho kizuri .lakn ukianza na gazeti ambazo huwa zinakuhamasisha kufanya jambo la mafanikio .

Daima utakuwa na mafanikio kwa kiasi kikubwa sana.

Asante sana napenda niishie hapo na pia naomba uendelee kupitia Mara kwa Mara ili tuweze kujifunza na kuelimishana katika vitu ambavyo vitatuhamasisha kutupa mafanikio.

Nawatakia siku njema
  NAPENDA KUKUONA UKIFANIKIWA
  BY MR B MWAMPULULE

MAMBO MUHIMU YA KUYAFAHAMU ILI UFANIKIWE

Habari ndg jamaa na rafiki yangu natumai u mzma wa afya kwa uwezo wa MUNGU.
   Tunashukuru MUNGU kwa kutupatia nafasi nyingne ambayo inatubid tuitumie vema ili tuweze kufikia malengo yetu.

DAIMA katika kufikia kuna vitu muhimu ambavyo i nabidi tuweze kuvifuata na kuvifanyia kazi ipasavyo ambavyo ni
1;Uvumilivu
2:Kujituma  
3:Muda

1:UVUMILIVU 
hii ni Tabia moja na sheria iliyo nzuri sana katika kufikia malengo endapo tukaimudu vema.kwa maana ya kwamba kila utakapo kufikia mahali fulani lazma ujitahid kuvumilia hata kama unakutana na vikwazo ving ndg yangu kwa maana mafanikio huwa hayaji pasipo uvumilivu.
Mfano:mtoto aanzapo shule  (chekechea)huwa anajiuliza sana ya kwamba hv mm lini nitamaliza hadi chuo kikuu?   ambapo huwa anakosa Majibu lakn akimuuliza mzazi anamwambia mwanangu vumilia ipo siku utafika kule.kwa sababu amazed kujipa moyo ya kwamba hata mm nitafika tu.

2;KUJITUMA
ndg yangu hili ni jambo kubwa sana na la muhimu ambapo pasipo Kujituma huwezi kufikia lengo lako kwa maana hilo lengo uliyakalo pasipo Kujituma huwezi kufikia.

3;MUDA
  hapa sasa ndg ndio penye siri nying zimejificha hapa .kwa maana
   Kila jambo ulitakalo kulifanikisha liwekee muda wa kuwa kufikia muda huu inabid niwe nimekamolisha hili au lile .
  Mfano ww hapo ndg yangu una lengo la kuwa mfanyabiashara mkubwa , kuwa na kampuni kubwa,kujiajiri mwenyewe,n.k lakn je unataka ufanye hivyo kwa muda gan?kwa maana sio una kuwa na ndoto lakn hujui itakamilika kwa muda upi uliojipangia hilo jambo litakusumbua sana na kila siku.

Asante sana kwa Leo niishie hapa naomba tuendelee kesho katika kitu kingne ambacho tutazd kukichambua zaid .
Asante nawatakia siku njema na pia endelelea kupitia Mara kwa Mara kwa ajili ya kuweza kujifunza ving .

Napenda kuona kila mmoja akifanikiwa

By Mr B mwampulule

Wednesday, November 2, 2016

SABABU INAYOKUKWAMISHA MAFANIKIO.

Habari za asubuhi ndg jamaa na rafiki yangu .Natumai wote tu wazma kwa Mara nyingne tumeiona siku ya Leo kwa rehema na neema za MUNGU.

    Ndg yangu siku ya Leo napenda tujifunze na tukifanyie kazi kitu kimoja   ambacho kinaitwa MAAMUZI.
    natambua ya kwamba hili neno tumelisikia sana na kila siku huwa tunalitumia katika maisha yetu ya kila siku.
  Lakn hili neno lina maana nying japo sisi twazitambua chache.
MAAMUZI   ni jambo ambalo ni muhimu sana kwetu sisi binadamu katika kuangalia kutazama na  kutafakari ni jambo gani tufanye hv au tufanye vile kwa maana usipoamua kulifanya huwezi kulifanya.
Mfano fikiria ww ni mzazi ambaye una familia na mke au mume na watoto wawili  ambapo hapo watoto wako wamefikia miaka ya kwenda shule.
   Sasa je ukiamua kuwapeleka shule wanao ili wakapate elimu kujifunza vilivyo ving .utakuwa umesaidia kuondokana na ujinga kwa watoto.
  Lakn je?  Usipoamua kuwapeleka shule watoto wako watakuwa na uelewa wa kiasi gan?
   Kwa hiyo maamuz ya kutaka kufanikiwa yako mikononi mwako na akilini mwako kwa kuweza kuamua ya kuwa sasa mm NATHUBUTU kuanza kufanya jambo fulani na kwa muda fulani .hapo utaweza kufanikiwa kwa maana umeamua kufanya kile UKIPENDACHO NA KUKIONA NDIO NJIA YA KUTOKEA  NA KUKUPATIA MAFANIKIO. 

EWE NDUGU YANGU  NA UFANYE MAAMUZ YALIYO SAHIHI AMBAYO YATAKUPATIA MAFANIKIO KWA NJIA ILIYO HALALI.
  NAPENDA KUONA TUKIFANIKIWA
   NAKUTAKIA SIKU NJEMA
BY MR B .MWAMPULULE

TAMBUA THAMANI YAKO

Habari za Leo ndg jamaa na marafiki zangu .natumai wote mu wazma wa afya kwa uwezo wa MUNGU. Kwa maana yy ndio mwenye uweza wa kutupatia vyote tulivyonavyo .
   Ndg yangu siku ya Leo napenda tukumbushane kitu kimoja ambacho ni  muhimu sana kukitambua katika maisha yetu ambacho hicho kitu ni THAMANI YAKO YA KUWEPO DUNIANI.
  Naomba nikuulize kitu kimoja ewe ndg yangu .je hapo ulipo umewahi kujiuliza ni wangapi uliishi nao ulikuwa nao na kwa sasa hawapo tena?
  Na pia umewahi kujiuliza ni kwa nn ww uwepo hai mpaka muda huu ?
   TAMBUA ya kwamba hapo ulipo ww na hapa nilipo mm ni kwa neema na rehema za mwenyezi MUNGU .
  Na pia tambua ya kwamba kuwepo kwako hapo kuna jambo kubwa sana lililopo mbele yako ambalo ni jukumu na wajibu wako wa kuweza kulifanikisha katika uhai wako.

Daima thamani yako ww na mm ni kubwa sana kwa mwenyezi MUNGU ambapo MUNGU katupa nafasi nyingne kwa ajili ya kukamilisha lile jambo lililo la muhimu kwako ambalo mwingne hana ili ulikamilishe na jamii ifaidike kutokana na hilo jukumu lako ndg yangu.
Kila siku ziendavyo ndivyo unavyozidi kuona ya kwamba ni jukumu gan lilivyo mbele yako lililo na manufaa kwako na jamii nzima.

Ndugu yangu naomba tutambue  thamani zetu kila siku.

Napenda kuona tukizd kufanikiwa katika malengo yetu ndg yangu .

MUNGU YU PAMOJA NASI DAIMA TUKAZE BUTI TUTAFIKA.

    BY MR B.MWAMPULULE