Sunday, February 12, 2017

Kwa nn uipe maarifa akili yako

Habari ndg jamaa n.a. rafiki yangu katika kuzd kutambua baadhi ya mambo n.a. kuzd kushauriana katika nyanja mbalimbali.

  Kila siku tambua kupata MAARIFA ndio chanzo cha mambo meng yaliyopo katika jamii kama
   Kuzd kutambua n.a. kuchanganua mambo mengi yatuzungukayo.
Pia maarifa huwa ndio chachu kuu katika kukuimarisha ww katika nyanja nyingi sana .

Ambapo mtu ukiwa n.a. maarifa anaweza kujifunza kitu n.a. kuchanganua kitu fulani fulani katika kila Jambo.

Daima maarifa ndio chanzo cha mafanikio yako .

Kwa maana hata katika maandiko yanasema  kumcha MUNGU ni chanzo cha maarifa.

Ambapo hata vitabu v ya dini vimeandikwa. Tambua kuwa hicho kitu ni cha thamani sana katika maisha yako .

Ndg yangu kila siku tuzd kutafuta maarifa ambayo yatatusaidia kufikia lengo fulani .ulilonalo lakn pamoja n.a. hivyo lazma uwe na 
Ufahamu pamoja  na hekima.

Ili ufanikiwe lazma utambue hvyo vitu vitatu ambavyo ni
Ufahamu
MAARIFA
Hekima
  
Nakala ijayo tutaangalia kuhusu maana ya Ufahamu, maarifa n.a. hekima.

Usichoke kuifatilia ili uweze kutambua baadhi ya mambo.

Pia unaruhusiwa kucoment na kushirikiana mm katika kuzd kutambua Mahal ambapo tunabadilishana mawazo.

Tuma maoni yako kwenye email
barakaasajilemwakyoma@gmail. Com

Friday, February 10, 2017

Chakula cha kuzipatia akili zetu

Habari ndg yangu natumai u mzma wa afya .
Naomba tuendelee n.a. nakala y etu ya Leo isemayo  CHAKULA CHA KULISHA BONGO ZETU.

Katika nakala iliyopita nilielezea kuhusu kutambua kuwa utajiri wako ni akili yako .

Sasa ili uzd kukua kiakili n.a. pia uzd kunia BONGO  yako pamoja na vingine vingi.

Unajua akili inafanya kazi kubwa sana kila siku Kwa maana huyo MAAMUZ ambayo ndiyo matokeo yako daima kwa maana ukiamua vema utapokea majibu mema n.a. pia ukiamua vibaya utapata majibu mabaya

Sasa ili uzd kunufaisha n.a. kukua akili yako katika kila njia iliyopo pendelea sana kuipatia  MAARIFA.

hiki ndicho CHAKULA kikuu cha kuipatia akili yako kwa maana ukiwa n.a. maarifa ambapo utakutana n.a. meng sana hapo.

NAPENDA KUKUONA UKIFANIKIWA

Pia nakala ijayo tutazd kufafanua z aidi kwa nn uipe maarifa akili yako.


Wednesday, February 8, 2017

Namna ya kuifanya akili y etu iwe utajiri

Habari ndg yangu natumai u mzma .
Naomba tuendelee n.a. nakala yetu ambayo inasema namna ya kufanya akili zetu n.a. bongo zetu kuwa utajiri.

Kila siku tambua akili zetu huwa zafanya kazi kadri upendavyo kila mmoja kwa maana akili yako ukizd kuilisha mambo yasiyo ya msing itazd kukupatia mambo yasiyo n.a. mantiki katika jamii yako kwa maana huwa inapata chakula kisicho sahihi.

Mfano katika familia ya baba mama n.a. watoto .je pale ambapo mtoto akiomba chakula huwa anapewa chakula gani? 
Mzazi hawezi kukubsli ampe mtoto chakula kisicho bora mwanae kwa maana anajua hakitaweza kumjenga mwanae. Kwa hiyo hapo ulipo ww ni mzazi wa akili yako ambapo inabidi uipe chakula kilicho bora ili izd kunawiri kila siku kwa maana ili uzd kunawiri kwa ajili ya maarifa .

Je unadhan kwa nn mzazi anakuwa yuko tayari kupambana kwa ajili ya mwanae kwa Jambo lolote limsibulo?

Ni kwa sababu anapenda kumwandalia mazingira mazuri mwanae ili azd kukua katika hali iliyo njema japo yy atakuwa katika wakati mgumu lakn mtoto huwa hajali Bali anaangalia mzazi wangu atanipa nn ?

   Kila siku pendelea kuipa akili yako kitu ambacho ni muhimu n.a. Cheney mantiki katka maisha yajayo siyo ya sasa kwa maana ya maisha ya kesho kwa maana ya Leo tayari umeshayaandaa tangu jana .
Sasa tengeneza maisha yako ya kesho ya we katika njia sahihi ambayo sio ya kujutaa .
YA KWAMBA kwa nn sikufanya hivyo kipind kile

Pinga sana kauli ya ningekuwa nimefanya vile au hv

Kwa maana ni sentensi shurutia inayokushurisha m wenyewe.
 
Asante endelea kupitia kila siku ukursa huu ili uweze kuzd kutambua n.a. kuelekezana baadhi ya mambo.

Nakala ijayo itadili n.a. chakula gan cha kuilisha akili yako kwa maisha ya kesho?

Tuesday, February 7, 2017

WATAMBUA akili yako ndio utajiri wako

Habari ndg yangu natumai u mzma wa afya karibu tena kwa Mara nyingne katika kuzd kujulishana baadhi ya mambo yatuzungukayo n.a. kujua namna ya kuyatatua.

Ndg yangu napenda kukuambia ya kwamba akili yako ndio utajiri wako kwa maana kila siku akili zetu huwa zafanya kaz kwa kias cha muhusika ambacho muhusika hutumia.

Je ww hutumiaje akili yako n.a. ubongo wako ili uje ukukomboe katika hali ya umaskini ?

Je pia ili utoke katika hiyo  hali WATAMBUA ya kwamba watakiwa kutumia vp akili yako?

Je umejiandaaje katika kuweza kujua akili yako ni utajiri wako uliopewa n.a. mwenyezi MUNGU.

Katika kuweza kutambua namna ya kutok katika umaskini kwa namna mbalimbali inabidi kuibidisha sana akili yako ili izd kujinoa n.a. kuzd kunawiri kwa kupat maarifa yaliyo meng zaid.

Katika hali ya kawaida waweza kuambiwa ili ufanye mabadiko lazma UKUBALI akili yako kubadilika .

Je huwa wajua ni kwa nn lazma ibwdilike ?

Ni kwa sababu mabadiliko yoyote yanahitaji MAAMUZ yaliyo sahihi ambayo yatamsaidia kila mmoja kutoka hapo alipo n.a. kwenda pengne.

UKITAKA kutambua meng zaid usikose kupitia tovuti y etu katika toleo lijalo muda si mrefu kwa maana kwa sasa tunahitaji tuwe n.a. Tanzania iliyo badilika sana kiuchumi n.a. kimaendeleo kwa ujumla.

Napenda kukuona ukifanikiwa .

.