Friday, November 18, 2016

Andaa vema BUSTANI yako ili ikupe MAFANIKIO

Habari ndg yangu napenda tuendelee katika kuweza kujulishana na kushauriana.

Unajua kila siku tambua ya kwamba hakuna mtu ambaye atakuwa anakusubiri ww ufanikiwe na ndipo ww uige toka kwako.

Hali za namna hiyo ndg zilikwishapitwa n.a. wakati kwa maana ya kwamba ili ufanikiwe lazma upambane ipasavyo .

Lakn pia katik kupambana na hizo harakati wahitajika kutambua ya kwamba uvumilivu huhitajika kwa kiasi kikubwa sana kwa maana hakuna jambo lisilo na chaangamoto .

Na kumbuka kupitia hizo changamoto ndio njia mojawapo ya kuweza kukutoa kimaisha.

Endapo ukiwa mvumilivu n.a. kuwa ni mtu usiye kata Tamaa.

Daima kupambana huwa kuna leta imani ya kufikia Lengo kulingana n.a. kwamba ni kwa namna gani utakuwa umetiĺia maanani katika Lengo lako.

Diana NAPENDA KUKUONA UKIFANIKIWA

By mr B MWAMPULULE

Thursday, November 17, 2016

WAPENDA KUPANDA NN KATIKA BUSTANI YAKO.

Habari ndg yangu natumai u mzma
Napenda tuendelee katika kuweza kutambua kuhusu suala la kuwa ww ni BUSTANI.

Ndg yangu kumbuka kutoka katika nakala iliyopita nilielezea kuhusu kwa nini uitwe bustani .

Ambapo nikaeleza ya kwamba kwetu ss bustani ni akili zetu.

Ambapo katika akili yet kuna kila kitu ambacho utweza kukifanya kutokana na maamuz yako.

Sasa siku ya Leo napenda kukuuliza na kuweza kufanunua kuhusu ni kitu gani huwa unapenda kupanda katika bustani yako.

Ambapo maana yake ni kwamba ni kitu gan unapenda au maarifa gan wapenda kuyalpanda kichwani mwako.

Je ndg yangu ww unapenda kupata na kupanda maarifa ya aina gani ili yakusaidie katika maisha yako?

Ewe rafiki yangu na ndg yangu nakuomba na kukushauri ya kwamba pendelea kupata maarifa yenye mantiki na yny faida katika maisha yako ya Leo n.a. baadae.

Kwa maana tukumbuke ya kwamba  muda unazd kwenda na bustann mwako hujaandaa wala kupanda mbegu aina yeyote .je siku zako za usoni utavuna matunda gani kutoka katika bustani yako.

Ndg yangu andaa BUSTANI yako na upande mbegu zilizo bora na uvune mazao yaliyo na faida kubwa sana maishani mwako.

Asante
NAPENDA KUKUONA UKIFANIKIWA

By my
Mr B.MWAMPULULE
barakaasajilemwakyoma@gmail.com

Wednesday, November 16, 2016

Je WATAMBUA KWANINI WW NIBUSTANI

Habari ndg yangu karibu kwa mara nyingne katika kuweza kutambua ya kwamba kwa nn uitwe bustani ndg yangu.

Tambua ya kwamba BUSTANI ambayio tunaizungumzia kwetu sisi ni AKILI AU UBONGO.

Kwa maana hiyo tambua ya kwamba sisi hapa tulipo tuna akili ambayo tunahitaji kuifanyia kaz katika kutuletea mafanikio katika maisha yetu ya kila siku.

Na pia hii bustani huwa inakuwa na maamuz yako ww muhusika katika kuamua ni kitu gan kilicho kizuri kukifanya na kipi kisicho chemo.

Kumbuka ndani ya akili yako huwa kuna uwezo mkubwa sana wa kuweza kuamua jambo na maamuz yaliyo sahihi katika Marsha yako .

Lakn je ndg yangu umejiandaaje kuitunza bustani yako ?

Umejiandaaje katika kupanda mazao mazuri katika bustani yako?

Je umejipangaje katika kuchagua mazao ya kupanda katika bustani yako?

Ndg yangu mpendwa fanya maamuz sahihi katika kuitunza bustani yako ili uweze kupata mafanikio mazuri katika haya maisha .

Usipende kuish katika haya maisha kw mazoea ndg yangu fanya mabadiliko sahihi tangu Sasa.

NAPENDA KUKUONA UKIFANIKIWA

By mr B.mwampulule.


Monday, November 14, 2016

JE WATAMBUA WW NI BUSTANI?

Ndugu yangu watambua ya kwamba ww ni BUSTANI?
   Je unajua kwa nn uitwe bustani?

Je ndani ya bustani huwa kunapatikana kitu gani?

Je ndani ya bustani tunapanda nn?

Je ni kitu gani chahitajika ili kuwa na bustani yako izae matunda mazuri?

Je katika bustani huwa unapendrlea kupanda nn?

Je ukipalilia bustani unategemea upate matunda gan?

Je usipopalilia bustani utapata nn?

Je utatumia njia gani endapo BUSTANI yako itatoa matunda usiyoyategemea?

Hv katika bustan yako unapendelea kuanza mmea gani ili uanzishe bustani yako?

Je kipind cha kiangaz huwa unatumia njia gan kuifanya bustani yako Iwe kama upendavyo?

Je huwa unapenda kupanda mbegu isiyokuwa na matunda mazuri?

Je uko tayari kuitunza bustani ambayo haizai matunda?

Je utafanya nn endapo bustani yako haijaridhika nayo?

Je hiyo bustani yako huwa unaihudumia kwa ratiba Gan au ratiba ya namna gan?

Ndg yangu naomba kwa Leo tutafakari na kuyafanyia kazi hayo baadhi ya maswali .

Naomba kipind kijacho utapata kuelewa ni nn maana ya maswali hayo na maana ya bustani hiyo.

NAPENDA KUKUONA UKIFANIKIWA

By mr B MWAMPULULE
0755778896
barakaasajilemwakyoma@gmail.com

Friday, November 11, 2016

KUJIKUBALI NDIO CHANZO CHA MAFANIKIO

Habari za asubuhi ndg jamaa n.a. rafiki zangu natumai wote mu wazma.
     Tunamshukuru MUNGU kwa wema wake kwa kuzd kutupatia pumzi mpaka muda huu kwa maana kuwa una jukumu maalum ulilowekewa ndani yako linahitajika kukamilika .

    Ndugu yangu siku ya Leo napenda nikukuumbushe na kukusisitiza ya kwamba ukitaka kupata mafanikio katika Maisha ni lazma uweze kujikubali ya kwamba unaweza na ujianze ww mwenyewe ukiwa kioo cha mwingne k ufanikiwa .

   Mfano unajua katika jamii yetu ituzungukayo huwa kuna tabia ya kuangalia watoto au watu walio n.a. uwezon.a. wasio na uwezo ambapo kila siku utasikia nataka kuwa kama Yule kwa maana Ana uwezo lakn huo hauwezi kama mwenyewe huwajibuki .

Daima ukitaka hayo mafanikio lazma uwajibike ipasavyo kwa maana huwa kuna ngazi za mafanikio kutokea chin mpaka kufikia Killeen.

  Asnte sana ndg yangu nakutakia siku njema na majukumu memaaa.

NAPENDA KUONA UKIFANIKIWA.

BY MR B MWAMPULULE.

Wednesday, November 9, 2016

AMINI KILA MMOJA ANAWEZA

Habari ndg jamaa na marafiki z angu natumai mu wazma wa afya kwa uweze wa mwenyezi MUNGU.
       Siku ya leo napenda tuangalie swala moja ambalo ni muhimu na huwa ndio chanzo cha mafanikio yet daima katika nyanja yeyote kama elimu biashara n.k
    Ambalo hilo swala ni KUJIKUBALI KUWA UNAWEZA kwa maana ya kwamba hakuna mtu yeyote ambaye hawezi kufanya maamuz na kufanya jambo .Bali kitu ambacho kinasumbua ni neno KUTHUBUTU .

   Unajua kila siku ukiwa unajiamini ya kwamba unaweza hakuna jambo Lolote ambalo litakuletea wakati mgumu kwa sababu pale uaminipo kuwa hili linawezekana kwa njia yoyote Ile lazma litawezekana kwa sababu ww mwenyewe ndio mwenye maamuz .

Mfano unahitaji kujenga nyumba ya kifahari lakn kwa muda huo hauna kipato cha kujenga hvo pamoja n.a. hvo unajua hiki kiasi nilichonacho kitanifikisha mahali fulani nakusihi ww Anza nacho tu kwa maana hakuna mtu ambaye alizaliwa n.a. akawa navyo hvyo uvionavyo anavyo.

Ndugu yangu mafanikio yanawezekana kwa maana hakuna aliyeumbwa kushindwa hata siku moja na ili uweze kushinda lazma ujiamini ya kwamba mm ninaweza tu kwa uweza wa mwenyezi MUNGU.

Usiogope kwa kuwa una hali ya namna gan ndg yangu unaweza kufanya mabadiliko n.a. ukiwa katika hali uliyonayo kesho tunakuona katika hali nyingne ndg fanya maamuz sasa ili uweze k ufanikiwa.

   Napenda kuona wote tukifanikiwa na kutoka hali tuliyonayo n.a.  kwenda hali nzuri zaid. 

Nawatakia siku njema.
By Mr b mwampulule

Tuesday, November 8, 2016

JITOE KWELI KUPATA MAFANIKIO PART 1

Habari za Leo ndg jamaa na rafiki yangu natumai mu wazma .karibuni tena na kwa wakati mwingne katika kuzd kujifunza baadhi ya harakati zitakazo tuletea mafanikio.
   
    Daima kila siku upendapo kupata mafanikio lazma ww uwe umejitoa kweli ili ufanikiwe kwa maana kwamba

   Usiogope maneno ya watu yatakayo kukatisha Tamara
  Usiogope na pia pambana ipasavyo katika hali uliyonayo ili uweze ufanikiwe
  Usiogope ya kwamba ukifanya hv sijui sijui itakuwaje

Bali kumbuka ya kwamba hayo mabadiliko uyatakayo ni ya kwako ww na familia yako.

Na pia hakuna mtu yeyote atakayekuja kukusaidia majukumu yako   
  Kwa maana kila mmoja atakuwa anashughulika na mambo yake.

   Asanten sana kwa Hilo naomba mlitafakari na kulifanyia kazi vzr  kwa ajili ya kupata mafanikio.
    
Nawatakia siku njema 
NAPENDA KUKUONA UKIFANIKIWA.
   BY MR B.MWAMPULULE.

KUPATA MAFANIKIO

Habari za Leo ndg jamaa na rafiki yangu natumai mu wazma .karibuni tena na kwa wakati mwingne katika kuzd kujifunza baadhi ya harakati zitakazo tuletea mafanikio.
   
    Daima kila siku upendapo kupata mafanikio lazma ww uwe umejitoa kweli ili ufanikiwe kwa maana kwamba

   Usiogope maneno ya watu yatakayo kukatisha Tamara
  Usiogope na pia pambana ipasavyo katika hali uliyonayo ili uweze ufanikiwe
  Usiogope ya kwamba ukifanya hv sijui sijui itakuwaje

Bali kumbuka ya kwamba hayo mabadiliko uyatakayo ni ya kwako ww na familia yako.

Na pia hakuna mtu yeyote atakayekuja kukusaidia majukumu yako   
  Kwa maana kila mmoja atakuwa anashughulika na mambo yake.

   Asanten sana kwa Hilo naomba mlitafakari na kulifanyia kazi vzr  kwa ajili ya kupata mafanikio.
    
Nawatakia siku njema 
NAPENDA KUKUONA UKIFANIKIWA.
   BY MR B.MWAMPULULE.

Friday, November 4, 2016

ANZA SIKU YAKO KWA KUHAMASIKA .

Habari za Leo ndg jamaa na rafiki
yangu natumai wote tu wazma.
     Karibu tena kwa wakati mwingne katika kuweza kujifunza na kuangalia baadhi ya mambo ambayo yatatuhamasisha kufanya maamuz na kupata mafanikio kila siku.

Ndg yangu Leo napenda kuongelea kuhusiana na NAMNA YA KUANZA SIKU YAKO UKIWA UMEHAMASIKA.

Nikiwa na maana ya kwamba kuanza siku vizuri ambapo ukiwa unaendelea na shughuli zako uweze kulifikisha lengo lako kwa kiasi fulani kwa kila siku.

Je? Ndugu yangu kila uamkapo huwa unapenda kufanya kitu gan ambacho huwa chakuhamasisha kufikia lengo lako?
 
Natambua ya kwamba kila mmoja kuna staili yake ambayo huwa anaipendelea kuanza nayo siku .

Naomba nikuambie kitu kimoja ambacho ni cha muhimu sana UNATAKIWA KILA UANZAPO SIKU ANZA KWA KUSOMA AU KUANDIKA LENGO LAKO UNALOHITAJI KULIFANIKISHA KWA SIKU HIYO.

  Ukifanya hivyo daima utazd kuwa ni mtu mwenye maendeleo na mwenye mafanikio kila siku.
Pia kama ww nisomaji wa magazeti nakuomba usipende kuanza siku kwa gazeti za udaku .kwa maana ukianza na udaku akili yako itakuwa imeanza vibaya kwa maana haujaupa chakula chake kilicho kizuri .lakn ukianza na gazeti ambazo huwa zinakuhamasisha kufanya jambo la mafanikio .

Daima utakuwa na mafanikio kwa kiasi kikubwa sana.

Asante sana napenda niishie hapo na pia naomba uendelee kupitia Mara kwa Mara ili tuweze kujifunza na kuelimishana katika vitu ambavyo vitatuhamasisha kutupa mafanikio.

Nawatakia siku njema
  NAPENDA KUKUONA UKIFANIKIWA
  BY MR B MWAMPULULE

MAMBO MUHIMU YA KUYAFAHAMU ILI UFANIKIWE

Habari ndg jamaa na rafiki yangu natumai u mzma wa afya kwa uwezo wa MUNGU.
   Tunashukuru MUNGU kwa kutupatia nafasi nyingne ambayo inatubid tuitumie vema ili tuweze kufikia malengo yetu.

DAIMA katika kufikia kuna vitu muhimu ambavyo i nabidi tuweze kuvifuata na kuvifanyia kazi ipasavyo ambavyo ni
1;Uvumilivu
2:Kujituma  
3:Muda

1:UVUMILIVU 
hii ni Tabia moja na sheria iliyo nzuri sana katika kufikia malengo endapo tukaimudu vema.kwa maana ya kwamba kila utakapo kufikia mahali fulani lazma ujitahid kuvumilia hata kama unakutana na vikwazo ving ndg yangu kwa maana mafanikio huwa hayaji pasipo uvumilivu.
Mfano:mtoto aanzapo shule  (chekechea)huwa anajiuliza sana ya kwamba hv mm lini nitamaliza hadi chuo kikuu?   ambapo huwa anakosa Majibu lakn akimuuliza mzazi anamwambia mwanangu vumilia ipo siku utafika kule.kwa sababu amazed kujipa moyo ya kwamba hata mm nitafika tu.

2;KUJITUMA
ndg yangu hili ni jambo kubwa sana na la muhimu ambapo pasipo Kujituma huwezi kufikia lengo lako kwa maana hilo lengo uliyakalo pasipo Kujituma huwezi kufikia.

3;MUDA
  hapa sasa ndg ndio penye siri nying zimejificha hapa .kwa maana
   Kila jambo ulitakalo kulifanikisha liwekee muda wa kuwa kufikia muda huu inabid niwe nimekamolisha hili au lile .
  Mfano ww hapo ndg yangu una lengo la kuwa mfanyabiashara mkubwa , kuwa na kampuni kubwa,kujiajiri mwenyewe,n.k lakn je unataka ufanye hivyo kwa muda gan?kwa maana sio una kuwa na ndoto lakn hujui itakamilika kwa muda upi uliojipangia hilo jambo litakusumbua sana na kila siku.

Asante sana kwa Leo niishie hapa naomba tuendelee kesho katika kitu kingne ambacho tutazd kukichambua zaid .
Asante nawatakia siku njema na pia endelelea kupitia Mara kwa Mara kwa ajili ya kuweza kujifunza ving .

Napenda kuona kila mmoja akifanikiwa

By Mr B mwampulule

Wednesday, November 2, 2016

SABABU INAYOKUKWAMISHA MAFANIKIO.

Habari za asubuhi ndg jamaa na rafiki yangu .Natumai wote tu wazma kwa Mara nyingne tumeiona siku ya Leo kwa rehema na neema za MUNGU.

    Ndg yangu siku ya Leo napenda tujifunze na tukifanyie kazi kitu kimoja   ambacho kinaitwa MAAMUZI.
    natambua ya kwamba hili neno tumelisikia sana na kila siku huwa tunalitumia katika maisha yetu ya kila siku.
  Lakn hili neno lina maana nying japo sisi twazitambua chache.
MAAMUZI   ni jambo ambalo ni muhimu sana kwetu sisi binadamu katika kuangalia kutazama na  kutafakari ni jambo gani tufanye hv au tufanye vile kwa maana usipoamua kulifanya huwezi kulifanya.
Mfano fikiria ww ni mzazi ambaye una familia na mke au mume na watoto wawili  ambapo hapo watoto wako wamefikia miaka ya kwenda shule.
   Sasa je ukiamua kuwapeleka shule wanao ili wakapate elimu kujifunza vilivyo ving .utakuwa umesaidia kuondokana na ujinga kwa watoto.
  Lakn je?  Usipoamua kuwapeleka shule watoto wako watakuwa na uelewa wa kiasi gan?
   Kwa hiyo maamuz ya kutaka kufanikiwa yako mikononi mwako na akilini mwako kwa kuweza kuamua ya kuwa sasa mm NATHUBUTU kuanza kufanya jambo fulani na kwa muda fulani .hapo utaweza kufanikiwa kwa maana umeamua kufanya kile UKIPENDACHO NA KUKIONA NDIO NJIA YA KUTOKEA  NA KUKUPATIA MAFANIKIO. 

EWE NDUGU YANGU  NA UFANYE MAAMUZ YALIYO SAHIHI AMBAYO YATAKUPATIA MAFANIKIO KWA NJIA ILIYO HALALI.
  NAPENDA KUONA TUKIFANIKIWA
   NAKUTAKIA SIKU NJEMA
BY MR B .MWAMPULULE

TAMBUA THAMANI YAKO

Habari za Leo ndg jamaa na marafiki zangu .natumai wote mu wazma wa afya kwa uwezo wa MUNGU. Kwa maana yy ndio mwenye uweza wa kutupatia vyote tulivyonavyo .
   Ndg yangu siku ya Leo napenda tukumbushane kitu kimoja ambacho ni  muhimu sana kukitambua katika maisha yetu ambacho hicho kitu ni THAMANI YAKO YA KUWEPO DUNIANI.
  Naomba nikuulize kitu kimoja ewe ndg yangu .je hapo ulipo umewahi kujiuliza ni wangapi uliishi nao ulikuwa nao na kwa sasa hawapo tena?
  Na pia umewahi kujiuliza ni kwa nn ww uwepo hai mpaka muda huu ?
   TAMBUA ya kwamba hapo ulipo ww na hapa nilipo mm ni kwa neema na rehema za mwenyezi MUNGU .
  Na pia tambua ya kwamba kuwepo kwako hapo kuna jambo kubwa sana lililopo mbele yako ambalo ni jukumu na wajibu wako wa kuweza kulifanikisha katika uhai wako.

Daima thamani yako ww na mm ni kubwa sana kwa mwenyezi MUNGU ambapo MUNGU katupa nafasi nyingne kwa ajili ya kukamilisha lile jambo lililo la muhimu kwako ambalo mwingne hana ili ulikamilishe na jamii ifaidike kutokana na hilo jukumu lako ndg yangu.
Kila siku ziendavyo ndivyo unavyozidi kuona ya kwamba ni jukumu gan lilivyo mbele yako lililo na manufaa kwako na jamii nzima.

Ndugu yangu naomba tutambue  thamani zetu kila siku.

Napenda kuona tukizd kufanikiwa katika malengo yetu ndg yangu .

MUNGU YU PAMOJA NASI DAIMA TUKAZE BUTI TUTAFIKA.

    BY MR B.MWAMPULULE

Monday, October 31, 2016

NAMNA YA KUTAMBUA FURSA

Habari za asubuhi ndg jamaa na rafiki yangu natumaini kwa uweza wa mwenyezi MUNGU u mzma wa afya njema .
Naomba siku ya Leo tuendelee kutambua namna gan ya kuona fursa zituzungukazo katika jamii zetu .
   Tambua ya kwamba tunaposema neno fursa imesheheni vitu ving ndan yake.sasa tuangalie baadhi ya fursa zinazotuzunguka.
  1:endapo tupo katika jamii ambayo iko katika mazingira ya vijijini .
   Hapo kuna fursa nying sana ambapo kupitia maisha ya kijijini kuna baadhi ya mahitaji muhimu sana ambayo huhitajika katika maisha yetu ya kila siku.
    Sasa hapa napenda nikutajie fursa kama ifuatayo kama ni sehemu isiyo na umeme
1;uuzaji wa mafuta ya taa
2;uuzaji wa taa za mafuta ya taa
3;uuzaji wa taa za sola
4:uuzaji wa majiko ya mafuta (ya mchina)
5;uuzaji wa tambi za taa na majiko n.k

Pia kuna fursa nying sana ambayo unaweza kuziona hizo ni baadhi tu.

Kumbuka tatizo linaloikumba jamii kwa kiasi kikubwa hiyo ni fursa na pia hiyo ni changamoto kubwa sana ambapo huwa inahitajika Mara kwa Mara katika jamii kama mahitaji muhimu katika jamii.

Kwa Mara nyingne ukiweza kutatua hilo tatizo utasababiasha kuanza kupendwa sana na jamii na kuwa t ayari ni msaada kwao kwa mana umeweza kuwasogezea huduma za muhimu karibu Yao.
 
   Kwa Leo tuishie hapa lakn muda ujao tunaendelea tena kutambua fursa ambazo bado tuko nazo katika jamii.
    Kwa mabadiliko ya fikra na maendeleo daima tuendelee kupitia ukurasa wetu kwa ajili ya kutambua mambo mbalimbali na pia ukijaribu kuongeza na vingne uvionavyo katika jamii yako.

Asante sana nakutakia siku njema .
By Mr B mwampulule.

Mafanikio

MAFANIKIO YA MAISHA SIO ELIMU TU, UTHUBUTU, KUJIAMINI NA UJASIRI WA MAAMUZI.  

✍🏽Ukichunguza katika jamii, utabaini kuwa sehemu kubwa ya matajiri ni wale ambao wana elimu ndogo ama hawakusoma kabisa.

👉🏾Katika miji na maeneo yote; wenye majengo ya maana, wenye makampuni makubwa, wenye utitiri wa malori na mabasi, wenye maduka makubwa ni wale wa "darasa la saba” au wale ambao hawakuingia darasani kabisa

🙇🏽📚 Wasomi wengi wana maisha ya kawaida yaani yale ya kiwango cha kubadilisha mboga, wakijitahidi sana wanaishia kujenga nyumba za kuishi 🏡 na 🚗 🚙magari mawili ya kutembelea (tena kwa mikopo!)

👉🏾Wapo 🙇🏽📚wasomi wengi tu wanaoishi kimasikini, kwa lugha ya kistaarabu tunasema wana maisha ya kuungaunga. Kiukweli idadi ya wasomi walio matajiri ni ndogo sana

👉🏾Lakini Umasikini wa wasomi wengi umeanzia huko shuleni na vyuoni wanakopatia usomi wao. Madarasani kuna mambo mawili wanafundishwa wasomi ambayo ndio yanayowaroga

Hii inachangiwa na mambo mawili:-
👇🏽
I. Wameelimishwa na kuaminishwa kwamba yule anaepata maswali yote kwa usahihi ndio anaonekana amefaulu. Ukikosea unahesabika kuwa u mjinga na wenyewe wanaita umefeli

👉🏾Hata hivyo katika maisha ya kawaida hasa kwenye mchakato wa kutafuta hela, kujaribu na kukosea ni sehemu ya mafanikio

👉🏾Kadiri unavyojaribu na kukosea mara nyingi ndivyo unavyojifunza na ndivyo nafasi ya kutajirika kwako inakuwa kubwa!

🙇🏽📚Wasomi wengi kwa sababu ya "mentality" ya kuogopa kukosea huwa hawapendi kujaribu biashara kwa hofu ya kushindwa kuiendesha, na huamua kufa kimasikini wakitegemea mishahara pekee kwa sababu mishahara ndio pato lao la uhakika
👇 🏾
II. Madarasani kunahimizwa ubinafsi badala ya umoja. Angalia namna mitihani inavyofanyika. Kila mwanafunzi anafanya mtihani peke yake, na ukikutwa unaangalizia ama mnasaidiana na mwenzio ndani ya chumba cha mtihani mtapata adhabu kali ikiwemo kufutiwa mtihani!

👉🏾Katika maisha ya kawaida hasa ya kusaka fedha, unahitajika ushirikiano mkubwa sana, baina yako na wadau, wateja, wafanyakazi wenzio, marafiki n.k. Kwa kifupi unatakiwa kuwa na Networking ya kutosha.

✋🏾Huwezi kufika mbali kiuchumi kama utakuwa na "mentality" ya ubinafsi unaosisitizwa madarasani!

��Simaanishi kusoma hakuna maana, isipokuwa ninakwambia: Kama ukipata nafasi ya kusoma, soma kwa bidii; lakini usibebe kila wanachokulisha madarasani; ukakileta huku mtaani

🛣Mtaani panahitaji akili ambayo ni tofauti na hiyo iliyopimwa kupitia kukariri ya vitabuni, mwishoni wanakuzawadia makaratasi yaitwayo vyeti.

😎Ukitaka kufanikiwa ungana  na   waliofanikiwa wakuelekeze 

😀🙏🏽 Hii habari haitaki hasira,  vumilia tu na jiongeze.

Fursa

              FURSA ZITUZUNGUKAZO KATIKA JAMII
   Daima katika jamii tuishio huwa kuna fursa nying za aina mbalimbali ambazo huwa zatuzunguka lakn kila siku huwa twaziona kama ni za kawaida sana machoni petu .
  tambua ya kwamba fursa uionayo ww ya kawaida ndio fursa ambayo mwenzio huifanyia kaz na kupata mafanikio kupitia hiyo fursa aliyoiona .
  je ni namna gan ya kuweza kutambua fursa zilizopo katika jamii husika ?
         ni kama ifuatavyo endapo katiak jamii uliyopo kumbuka kuna mambo muhimu ambayo huwa yanatumika mara kwa mara kwa mfano
katika jamii y
tunahitaji mambo yafuatayo endapo kama ni sehemu ambayo hakuna umeme kuna kuwa na uhitaji wa
  1. 1.mafuta ya taa                              2.taa za chemli pamoja na karabai au korobo                                  3.uwe  majiko ya mchina      4.uwepo wa tambi za koroboi pamoja na tambi za taa za emlipo wa tambi za 
  •   sas  a endapo kama umefika na kukutana na changamoto kama hizo tambua ya kwamba hiyo ni mojawapo ya fursa ambayo unahitaji kuitatua ili kuisaidia jmii katika mambo kama hayo kwa  kuwaletea huiduma karibu kwa msaada zaid na kufurahia uwepo waqko daima ambapo kila siku watapenda uwepo wako kila siku. 
  • utakapoweza kutatua tatizo moja lililopo katika jamii ambalo lipo katika jamii yako ndipo utatambua fursa zingne nying ambapo kupitia hilo tatizo kwako ww ndio fursa    

Sunday, October 30, 2016

Hatua za mafanikio

Habari ndg jamaa na rafiki yangu karibu tena kwa Mara nyingne katika kuzd kupanua bongo zetu ili zisizd kulala Bali tuzd kuzifanyisha kaz ya kuzifikirisha ili tuchukue maamuz sahihi.
    Hatua za mafanikio
Unajua kila kitu huwa kina kwenda kwa hatua ambazo huwa zinamfanya mtu aonekane kapiga hatua ya kutokea sehemu moja na kwenda nyingne. Lakn katika hizo   hatua zipo za kwenda mbele na za kurud nyuma. namaanisha  hv.

1.hatua za kwenda mbele
Hizi ni hatua ambazo mtu hupiga au hutembea kwa kwenda mbele au kwa kuanza au kuendelea na safari .ambapo hapo ndipo nahali penye mafanikio kwa maana mafanikio huanzia kama hatua japo kuna changamoto zake nying lakn huo ndio mwanzo wa mafanikio.

2:hatua za kurud nyuma
Hizi nazo ni hatua ambazo mtu hupiga kwa kwenda nyuma au kurud reverse. Ambapo kwa muda mwingne ukiona mtu wa namna hiyo huwa wanasema ameanza kupoteza muelekeowake.au balance. 
   Mfano mlevi akiwa amelewa sana huwa Ana Tabia ya kwenda ya kwenda mbele hatua tatu na hurud nyuma hatua nne  huo ndio huwa ni mojawapo ya mwendo wa kurud nyuma.

Sasa ndg yangu kumbuka katika hii njia yetu ya mafanikio tuko weng tuendao huko lakn kuna changamoto nying ,vikwazo ving na baadhi ya mambo mengne meng sana ambayo huweza  kuturudisha nyuma na pia kutupeleka mbele.

Naomba sasa usiweze kuogopa tena katika kupiga hatua zako as mafanikio daima piga hatua za kwenda mbele ili zizid kukupatia mafanikio .usiogope kuwepo kwa vikwazo ,vitusho na changamoto nying zilizopo nakusihi KAZA BUTI SAFARI BADO NI NDEFU SANA ILI TUFIKIE MALENGO YETU .

Mfano halisi katika hiyo picha unaona aliye upande wa kulia anapiga hatua za kwenda mbele anapanda ngazna aliyeko kushoto kaanguka kwa maana alikuwa akirud kwa kupiga hatua za kurud nyuma ambacho ni kitu kitakachokuletea kuanguka tu.

   endelea kusoma na makala zingne zilizopo ili uzd kuongeza ujuz katika nyanja yetu ya mafanikio .
    By Mr B mwampulule

Hatua za mafanikio

Habari ndg jamaa na rafiki yangu karibu tena kwa Mara nyingne katika kuzd kupanua bongo zetu ili zisizd kulala Bali tuzd kuzifanyisha kaz ya kuzifikirisha ili tuchukue maamuz sahihi.
    Hatua za mafanikio
Unajua kila kitu huwa kina kwenda kwa hatua ambazo huwa zinamfanya mtu aonekane kapiga hatua ya kutokea sehemu moja na kwenda nyingne. Lakn katika hizo   hatua zipo za kwenda mbele na za kurud nyuma. namaanisha  hv.

1.hatua za kwenda mbele
Hizi ni hatua ambazo mtu hupiga au hutembea kwa kwenda mbele au kwa kuanza au kuendelea na safari .ambapo hapo ndipo nahali penye mafanikio kwa maana mafanikio huanzia kama hatua japo kuna changamoto zake nying lakn huo ndio mwanzo wa mafanikio.

2:hatua za kurud nyuma
Hizi nazo ni hatua ambazo mtu hupiga kwa kwenda nyuma au kurud reverse. Ambapo kwa muda mwingne ukiona mtu wa namna hiyo huwa wanasema ameanza kupoteza muelekeowake.au balance. 
   Mfano mlevi akiwa amelewa sana huwa Ana Tabia ya kwenda ya kwenda mbele hatua tatu na hurud nyuma hatua nne  huo ndio huwa ni mojawapo ya mwendo wa kurud nyuma.

Sasa ndg yangu kumbuka katika hii njia yetu ya mafanikio tuko weng tuendao huko lakn kuna changamoto nying ,vikwazo ving na baadhi ya mambo mengne meng sana ambayo huweza  kuturudisha nyuma na pia kutupeleka mbele.

Naomba sasa usiweze kuogopa tena katika kupiga hatua zako as mafanikio daima piga hatua za kwenda mbele ili zizid kukupatia mafanikio .usiogope kuwepo kwa vikwazo ,vitusho na changamoto nying zilizopo nakusihi KAZA BUTI SAFARI BADO NI NDEFU SANA ILI TUFIKIE MALENGO YETU .

Mfano halisi katika hiyo picha unaona aliye upande wa kulia anapiga hatua za kwenda mbele anapanda ngazna aliyeko kushoto kaanguka kwa maana alikuwa akirud kwa kupiga hatua za kurud nyuma ambacho ni kitu kitakachokuletea kuanguka tu.

   endelea kusoma na makala zingne zilizopo ili uzd kuongeza ujuz katika nyanja yetu ya mafanikio .
    By Mr B mwampulule

ONDOA UOGA KATIKA KUFANYA JAMBO

Habari za Leo ndg jamaa na rafiki .K aribu tena kwa muda mwingne katika kuzd kujifunza na kujihamasisha katika nyanja ya mafanikio.
  Unajua kila siku unapoamka huwa una kuwa na kusudi jipya ambalo umeweka K ichwani mwako ili litimie kwa muda wa M ajukumu yako kwa siku husika.
   Pia kumbuka kuwepo kwa jukumu hilo na kulikamilisha jukumu hilo ndio chanzo cha kuweza kufanya jukumu lingne kutokana na majukum yako ulivyoyapangilia.
  Kumbuka hakuna jukumu ambalo hsliwez kutekelezeka  Bali endapo kama usipoamini ya kwamba unaweza kulitekeleza ndipo huwezi kulitekeleza .lakn ukiamini na kujipa moyo na kuzd kumuomba MUNGU kila jukumu linawezekana.
Napenda kukuambia ya kwamba daima toa dhana uliyojiwekea K ichwani mwako ya kwamba huwezi .iond oe kabisa katika ufahamu wako kwa maana isije kukurudisha nyuma kimaendeleo.
    Endelea kupambana na changamoto na vikwazo vyote vikuzungukavyo kwa maana hizo ni baadhi ya njia zitakazo kuletea mafanikio.
  Asante sana
Nakusihi endelea kutembelea Mara kwa Mara ili kuweza kutambua kitu na kujifunza kitu kila siku.
   By Mr B mwampulule

Mafanikio

KunaTofauti kubwa kati ya Kufanikiwa na kuwa Na Mali nyingi
Unaweza ukawa una Mali nyingi lakini ukawa ujafanikiwa,kwa Tafsri nyepesi kuwa na Mali nyingisio Mafanikio
Lakini pia Mafanikio uambatana na Mali
Ukifanikiwa lazima pia utakuwa na Mali nyingi
Mafanikio uja na Mal

Kufanikiwa ni Zaidi ya kuwa na Fedha nyingi
Usitafute Mali Tafuta Mafanikio
Ukipata Mafanikio utapata na Mali nyingi

Wednesday, October 26, 2016

Namna gani ya kuweza kutimiza malengo yako

Habari za siku ya Leo ndg jamaa na rafiki zangu wote karibun tena kwa  Mara nyingne katika safu yetu ya kuweza kubadilishana mawazo  n mitazamo ya namna gan tuweze kujikwamua katika changamoto ya maisha ya umaskini miongon mwetu.
  Unajua kila siku katika maisha yetu huwa kuna changamoto nying na vikwazo ving vitusumbuavyo kila siku.
Sasa tambua hivyo vikwazo unaweza kuvitatua endapo kama ww mwenyewe utajiweka t ayari katika kuweza kuvitatua kwa umakini.
    Ili uweze kufanikiwa na kutatua tatizo fulani ni lazma ujiweke tayar katika kufanyia kazi hayo maamuz yako ya kulitatua ipasavyo.
    Na pia tambua ya kwamba ili uweze kufanikiwa usiogope maneno ya watu ww fanya kile ambacho unaona hiki kina manufaa kwa w akati ujao.
Kumbuka ya kwamba MAFANIKIO NI WATU LAKN SI KILA MTU ANAPENDA MAFANIKIO YAKO.
kwa maana unaweza kukutana na watu watakao kupa moyo katika maamuz yako na pia wapo watakao kukuatisha Tamaa katika maamuz yako .
Naomba kwa Leo niishie hapo na tutazd kujifunza meng na meng zaid katika hii blog yetu .
      Nakusihi uzd kuitembelea ili uzd kujifunza na kuweza kufikiria na kwa uwezo wako uwe namna gan ili uweze kufanikiwa .
  NAPENDA KUKUONA UKIWA UMEFANIKIWA.
BY MR B MWAMPULULE.

Sunday, October 23, 2016

Kazi zilizo na nafasi nzuri katika soko la ajira

Habari ya Leo ndg yangu tumshukuru mungu kwa kila jambo alilotuyendea kwa maana ni kwa neema na rehema yake tu ndio maana tupo hai mpaka sasa hv tusomapo ujumbe huu.Leo napenda tuzungumzie kuhusiana na suala la Ajira kwetu sisi vijana pamoja na jamii ituzungukayo.
  Ajira ina maana ya kwamba ni kazi yoyote ambayo inampatia mtu kipato cha kuweza kupata mahitaji yake yaliyo ya muhimu .lakini hiyo ni maana yote kwa ujumla Kati ya waliopo ofsini na waliojiajiri.
Lakn Leo tuzungumzie ajira kwa vijana ambao hawajaajiliwa katika ofs Bali ni katika mbinu za kujiajiri.ili kuweza kujikwamua kutoka nafasi kwenda nyingne kimaendeleo.
    Ajira za kujiajiri ambazo zinaweza kukinua katika maisha ni kama zifuatazo
Ufund. Hii ni kazi ambayo mtu hujiajiri katika kujikwamua kimaisha katika fan
Hii ambayo imegawanyika katika vifungu mbalimbali kama zifuatazo
     1;umeme
2;ujenz
3:pikipiki
4;magari
5:cherehani
  Unajua kiukweli kuna ufund wa aina nying ambao unaweza kimaisha lakn hufatana na mtu mwenyewe kujipangia ratiba ya kuwa ni kwa namna gfan ukamilishe malengo yako.
Ufugaji katika hii nyanja nayo huwa unatoka kimaisha kutokana na namna gan unaweza kuwa na lengo la kulitimiza.

Wednesday, October 5, 2016

MALENGO NA MAONO YETU .

*BINADAMU ASIYEKUWA NA
MAONO HUPOTEA*

*_Relax and trust the timing of your life, you will figure out your career, you will find the right relationship, you will become The person you always wanted to be, Just don't forget to appreciate who you are now_*

Maono ni nini, ili kufahamu vizuri dhana nzima ya maono ni kujiuliza swali moja *UNATAKA UKUMBUKWE KWA JAMBO GANI* kimsingi unataka kuleta tofauti gani katika hii dunia.

Nini unakiona kwenye maisha yako miaka michache ijayo, unapanga kufanya nini kwa muda mrefu wa maisha yako.

Akili yako imebeba picha ya aina gani? Picha hiyo ndiyo inayotengeneza maisha yako, inatengeneza kuamua kwako, kuongea kwako, mavazi yako, kazi unayoifanya, marafiki uliyo nao. Nk
👆👆👆👆👆
Vyote hivi vinajengwa na taswira uliyo Nayo wewe mwenyewe juu ya maisha yako katika akili yako.

Sasa kumbe maono yanatupa faida zifuatazo.

Thought 1
*uwezo wako wa kuamua na kutendea kazi mawazo yako vinategemea kiwango chako cha kuamini juu ya taswira uliyo nayo kuhusu maisha yako*

Thought 2.
*kiwango chako cha maisha kinapimwa na kiwango cha maono yako, ukiwa na maono madogo jua na maisha yako yatakuwa ya kawaida*

Thought 3
*Maono yanaondoa uvivu na kukata tamaa kwasababu mtu anaejua anakokwenda ni vigumu sanaa kumzuia*

Thought 4
*maono yanatabia ya kumjengea muhusika Hamu ya kutafuta taarifa hasa kuhusu ono lake, lakini pia kumpaa maarifa ya namna ya kuwekeza kwenye maono yake*

Ukisha tambua unataka kufika wapi katika maisha yako, hakikisha hakuna mtu yoyote anaekukatisha tamaa.
👆👆👆👆👆👆
Kuanzia Leo anza kuamini kwamba maono yako yanaweza kutimia, anza kuamini mawazo yako na Mapito yako kwamba ndivyo vitakavyo kufikisha mahali unapo pataka.

Nb
*_The key to a positive life is to focus on the solution not the problems_*

*_one day all the people that did not believe in you, Will tell every one how they meet you_*

Napenda kukuona ndg yangu tukiwa tumefanikiwa na kufikia malengo yetu kila siku kwa kulifanya kwa kiasi chake
.  
MUNGU YU PAMOJA NASI DAIMA KATIKA KILA LILILO  MBELE YETU.
  BY MR B.MWAMPULULE

Wednesday, September 28, 2016

NJIA ZA KUKUSAIDIA KATIKA KUFIKIA MALENGO YAKO

Habari za Leo ndg yangu,rafiki zangu,kaka zangu ,Dada zangu,karibun sana katika kuendelea kushauriana na kupambanua mambo yaliyo muhimu katika malengo ya maisha yetu.
   Siku ya Leo napenda tuangalie ya kwamba ni namna gan utafikaia malengo yako endapo utatumia baadhi ya njia kama zifuatazo
Cha kwanza inabid tutambue maana ya vitu vifuatavyo ambavyo ndivyo vitu muhimu kukufikishia lengo lako.
  1:Ndoto
Hii ni fikra au maono ambayo mtu humjia kichwan mwake kutokana na vile vitu apendavyo viweze kutokea maisha yake.ambapo hii ndio njia ya kwanza muhimu ambayo ukiweza kuwa na ndoto ya kuweza kufanya kitu fulani na kukifanikisha huwa na mafanikio yaliyokuwa kuwa tayar umeyapanga kichwan mwake.
   2:Malengo
Hii ni njia nyingin ambayo kutokana na ndoto yako huja kutengeneza kutengeneza malengo.ambapo haya malengo huwa ni ndoto ambayo mtu hujipangia ya kwamba katika kufanikisha i nabidi nitumie muda gan na vitu gan katika kufikia lengo
  3:Mikakati
Hii ni mipango ambayo mtu hujiwekea katika ndoto zake na malengo yake ambapo i nabidi tutafakari ya kwamba katika Mikakati yangu ya kufanukisha hili i nabidi nianze na kipi na nimalizie kipi ili pale uanzapo usiweze kupata shida.
4:Action/vitendo
Sasa hapa ndipo ufanikishapo lengo lako kutokea katika ndoto mpaka vitendo na ndipo ufanyapo na utekelezspo ndoto zako kupata
mafanikio .

    Ndoto
        ⬇     
   
   Malengo
         ⬇
  Mikakati
         ⬇
  Action(vitendo )   
KATIKA vitendo ndio sehemu ambapo utavifanyia kazi vile vyote ulivyojifunza kwa nadharia na kufanya kwa vitendo zaid.
   Lakn pia katika hivyo vilivyopo hapo juu inatakiwa uweze kujiwekea
   1:muda
Hapa unajipangia ni kwa muda gani niwe nimefanikisha lengo au mafanikio yangu
2;kipimo
Hapa unajiwekea kipimo ya kwamba kufikia muda fulani nitakuwa nimefanikisha lengo Lang kwa kipimo cha asilimia kadhaa na baadae kias kadhaa
3;level utakayo
Sasa hapa unaangalia je katika maisha yangu yahitajika niwe level ya aina gan.mfano kama una lengo la kuwa mfanyabiashara  je unataka uwe wa level ya kimkoa kitaifa au kimataifa .
   KATIKA maisha ya mafanikio hivyo vitu vyahitajika sana uvitambue .
     Nakutakia siku njema na majukum Mema katika kufikia nia na malengo yetu
MUNGU yu pamoja nasi usikate Tamaa mtegemee MUNGU kila siku ianzapo na iishapo kwa maana ni rehema na neema zake tu.
  Phone 0755778896
Email:barakaasajilemwakyoma@gmail.com

Tabia zinazoleta mafanikio katika maisha yako

Habari za Leo ndg ,jamaa,rafiki na wengne wote tulio na lengo la kuweza kujikwamua kiuchumi kutokea katika nyanja tulizopo na kwenda katika nyanja za hali ya juu.
Siku ya Leo tunaanza na Tabia moja kabla ya nyingne
   1.Tabia ya utoaji
Hii ni mojawapo ya sababu ya muhimu ya kuweza kukukwamua Toka nyanja ulizopo na kwenda zngne kwa kuweza kitaa kwa moyo wako katika kuweza kusaidia jamii ikuzungukayo kama vile

  Yatima :hili ni mojawapo ya kundi ambalo linahitaji msaada wa hali nzuri kwa ajili ya kuweza kuwajali na kuwatunza kutokana na mazingira waliyopo.

     Wasiojiweza(wazee ):hili ni miongon mwa kundi lililopo katika jamii yetu na kila siku linahitaji msaada mkubwa katika kuweza kuwasaidia katika hali tofauti tofauti kama kupata chakula,mavaz.na vingne ving vilivyo muhimu kwa kila binadamu katika maisha.
  Vilema :hili pia ni kund ambalo linatuzunguka katika jamii zetu ambalo huhitaji msaada mkubwa katika nahitaji muhimu ya binadam.
  Wajane ;hili pia ni mojawapo ya makundi yaliyotuzunguka katika jamii na ambayo yanahitaji msaada mkubwa katika mahitaji muhimu ya mwanadamu (chakula,Malazi,mavaz,n.k)
   Kumbuka
KUTOA NI MOYO SI UTAJIRI
TOA BILA KUTARAJIA CHOCHOTE
BALI MUNGU PEKEE NDIO WA KUKULIPA FADHILA ZAKO ULIZOZIFANYA.
    GIVING◀▶RECEIVING

Nakutakia siku njema na Mungu akubariki
Phone no 0755778896
Email:barakaasajilemwakyoma@gmail.com

Sunday, September 11, 2016

MBINU ZA KUONGEZA WATEJA KATIKA BIASHARA YAKO

Tukiwa katika harakati za Biashara Wateja ni Dhahabu kwetu.Imekuwa ni kawaida watu k=usema Mteja ni Mfalme.Ni kweli Mteja ni Mfalme na ili uweze kufanikiwa katika  katika Biashara yako .
               Yafuatayo ni mambo ya muhimu katika kuongeza wateja katika biashara yako
    1.Mapokezi mazuri
Daima huwa twasema  siku njema huonekana asubuhi ambapo ndio muda ambao huanza ukiwa na nguvu na akili iliyo katika hali nzuri .sasa endapo umefika ofsini kwako na kukutana na mteja umpokee katika hali nzuri na mapokez mazuri ili aweze kuona hapa ndipo panapofaa kutokana na mapokez yanayofurahisha na kuridhisha.
  Mfano katika ofs za mgahawa ukimpokea kwa shamlashamla na kumwambia Karibu san mteja karibu kiti na ndipo baada ya hapo unaanza kumuuliza na kumsikiliza au unampa menyu yako ya vyakula ulivyo navyo na ndipo atakupa jibu atakacho.
  2.Ukarimu
Kila siku ukarimu huwa ni njia mojawapo ya kumteka na kumfurahisha mteja wako ili hata w akati mwingine ajihisi yupo Mahal panapomfaa na kuwa hajakosea kufika katika ofs hiyo.
3.Bidhaa yenye ubora
Katika kupata mteja aliye mzuri na aliye wa kudumu umuuzie bidhaa iliyo bora na iliyo katika kiwango cha kuridhidha ili atakapo weza kununua hapo hata siku nyingne atakuletea mteja mwingine.
 

FURSA ZA AJIRA ZILIZOPO TANZANIA

Ikiwa ni Makala nyingine Inayoelezea fursa za ajira,Ningependa Twende Pamoja Mpenzi msomaji wa Mtandao huu.

Ajira imekuwa ni Gumzo kubwa kwa miaka ya sasa.Kila Mwaka Maelfu ya watu Wanahitimu Ngazi mbalimbali lakini ni wachache tu wanaofanikiwa kupata ajira.lakn pia sisi kama vijana i nabidi tutumie akili nyingne ya ziada katika kupata ajira.kulingana na ajira zetu.

Minun tano zitakazokufikisha katika Utajiri


Tukiwa katika hjarakati za kila siku za kuusaka Utajiri Wengi huishia Njiani na huwwacha Wachache Wanaofikia Utajiri
Kikwazo kikubwa kinachowazuia Watu kuufikia Utajiri ni hivi hapa.....
1;kuamua kuwa unaweza kuwa tajiri.
2:kuthubutu kufanya mambo mkubwa yatakayo kuletea faida mbeleni.
3;kupenda mafanikio ya haraka
4;maamuz
5;kutopenda kujifunza Toka kwa waliofanikiw
NA MENGNE MENG .MUDA UJAO TUTAZD KUIFAFANUA NA KUIPAMBANUA KIUNDANI ILI UWEZE KUJIFUNZA ZAID PENDA KUTEMBELEA UKURARSA HUU NA KUUSOMA ILI KUKIFUNZA ZAID
           NAPENDA KUKUONA UKIFANIKIWA .
BY MR B MWAMPULULE.

JIONSI YA KUPATA MTAJI WA BIASHARA

Karibu mpenzi na rafiki msomaji katika Mtandao huu wa MBINU ZA MAFANIKIO.
    Nikukaribishe katika makala hii iliyopo katika kipengele cha Biashara,
Watu wengi wamefanikiwa kupitia Biashara na bado kila siku Watu wanaingia katika biashara.