Sunday, September 11, 2016

Minun tano zitakazokufikisha katika Utajiri


Tukiwa katika hjarakati za kila siku za kuusaka Utajiri Wengi huishia Njiani na huwwacha Wachache Wanaofikia Utajiri
Kikwazo kikubwa kinachowazuia Watu kuufikia Utajiri ni hivi hapa.....
1;kuamua kuwa unaweza kuwa tajiri.
2:kuthubutu kufanya mambo mkubwa yatakayo kuletea faida mbeleni.
3;kupenda mafanikio ya haraka
4;maamuz
5;kutopenda kujifunza Toka kwa waliofanikiw
NA MENGNE MENG .MUDA UJAO TUTAZD KUIFAFANUA NA KUIPAMBANUA KIUNDANI ILI UWEZE KUJIFUNZA ZAID PENDA KUTEMBELEA UKURARSA HUU NA KUUSOMA ILI KUKIFUNZA ZAID
           NAPENDA KUKUONA UKIFANIKIWA .
BY MR B MWAMPULULE.

No comments:

Post a Comment