Sunday, October 30, 2016

Mafanikio

KunaTofauti kubwa kati ya Kufanikiwa na kuwa Na Mali nyingi
Unaweza ukawa una Mali nyingi lakini ukawa ujafanikiwa,kwa Tafsri nyepesi kuwa na Mali nyingisio Mafanikio
Lakini pia Mafanikio uambatana na Mali
Ukifanikiwa lazima pia utakuwa na Mali nyingi
Mafanikio uja na Mal

Kufanikiwa ni Zaidi ya kuwa na Fedha nyingi
Usitafute Mali Tafuta Mafanikio
Ukipata Mafanikio utapata na Mali nyingi

No comments:

Post a Comment