Saturday, March 25, 2017

FAIDA Za TUNDA LA STAFELY

1.  Majani yake hutumika kama chai na kutibu kuharisha damu, mafua na husaidia mfumo wa umeng'enyaji  wa chakula.

2.  Mizizi yake huua minyoo kwa aina zake .

3.  Mbegu hutengenezwa dawa ya kula na kufukuza wadudu waharibifu.

4.  Tunda ni chanzo kikuu cha  vitamin C , Iron, Niacin Riboflavin na asilimia 12% ya tunda hili ni sukari salama.

5.  Tunda hili pia ni chakula,unaweza kutengeneza juice tamu kwa familia .

Ushauri 
Mgonjwa wa saratani anapokuwa kwenye Tiba ya hospitali anashauriwa pia kula sana Stafeli ili kumpunguzia makali ya dawa za Saratani pamoja na kupunguza maumivu.
Tukumbuke maumivu ya saratani ni maumivu makali kuliko na wagonjwa wanapewa zile dawa kali sana  za maumivu.
Matumizi ya tunda hili yatampunguzia mgonjwa madhara ya dawa.

Kwanini usilifanye tunda hili kuwa Rafiki kwako na familia yako?
Nashauri kila mmoja wetu apande mti japo mmoja wa tunda hili  nakujipatia faida bila kutumia gharama kubwa ya kununulia, Miili yetu inahitaji tunda hili kwa wingi.

Stafeli majina yake mengine ni  Soursop au Graviola.

No comments:

Post a Comment