Wednesday, March 29, 2017

TAMBUA TABIA ZA BLOOD GROUP A

Habar ya mda huu,

Leo tujifunze kuhusu Tabia na aina ya Damu group A.

1=Tabia ya watu wenye group A huwa ni wabinafs sana,Anaweza akawa anafaham kitu lakin kakaa nacho tuu na asimshirikishe MTU yaan ni wabinafs sana.

2=Wapole,Na kutokana na hii hali au aina ya group LA dam huwapelekea kuwa na hasira sana na hasira zao huwa haziish yaan ( kinyongo).mnaweza kugombana Leo ukamuomba msamaha baada ya mwaka moja akaja kukukumbusha kuwa kuna siku ulimfanyia kitu fulan,huwa hawasahau.

3=Wanafata sana sheria.

4=wanapenda sana details,kwa mfano watu wenye group A unaweza kumtuma Dukan ukamwandikia kwenye karatas anunue hiki na hiki lakin akifika Dukan anaweza tena kukupigia hivi ulisemaje ni nunue ni Na nin.

5=Hawapend shida.

Sasa changamoto inakuja huyu MTU mwenye group A anapokutana na MTU Wa group 0 huwa shida sana,kwasababu group A ni Wapole wanapenda kuelekezwa kimoja kimoja wakati group 0 huwa ni wababe sana na huwa hawapend kurudia rudia vitu,akishasema amesema.

Kwa hiyo ukiangalia hata kwenye mahusiano MTU Wa Group A ni ngumu sana kuish na group 0.MTU mwenye group O hakawii kukwambia usinisumbue,acha yaan huwa hawapend usumbufu usumbufu hasa wanapokutana na group A.

No comments:

Post a Comment