Friday, March 3, 2017

Amka ukiwa na mtazamo chanya.

Kila siku uamkapo n.a. uanzapo siku yako kuwa n.a. mitazamo chanya ambayo itakufanya ww kuwa n.a. mawazo chanya kila wakati.
Kwa maana kile ukifikiliacho ww katika mtazamo chanya ndio mafanikio yako yanapitia huko kwa maana umekichukulia mawazo mazuri ambayo yatakufikisha kilele cha MAFANIKIO.

Endapo ukizd kuyafikilia na kuyafanyia kaz kila siku Kwa sababu ukifikilia pasipo kulifanyia kaz ni sawa n.a. bure.

Utakuwa kama Yule ambaye hajafanya maamuz ya kufikia kilele cha mafanikio

No comments:

Post a Comment